HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

February 28, 2013

POLISI MKOA WA KINONDONI WAKAMATA MAJAMBAZI PAMOJA NA SILAHA

Baadhi ya silaha zilizokamatwa klatika msako na Polisi Mkoa wa Kinondoni zikiwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay leo.
 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela akionesha bastola zilizokamatwa na Polisi wakati wa msako wa majambazi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela akionesha nondo zilizokamatwa wakati wa msako huo.

No comments:

Post a Comment

Pages