HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

July 23, 2014

MAANDALIZI YA NANENANE YASHIKA KASI KANDA YA KASKAZINI

 Mkulima Prisca Lokweni akieleza juu ya zao la alizeti na faida zake kiuchumi, zao hilo linatumika kutengeneza mafuta ya kupikia pia linahimili ukame ,akiwa katika vipando vya kampuni ya kuzalisha mbegu ya Suba Agro katika eneo la Njiro Nane Nane. (Picha na Ferdinand Shayo)
 Mkulima Prisca Lokweni akieleza juu ya zao la alizeti na faida zake kiuchumi, zao hilo linatumika kutengeneza mafuta ya kupikia pia linahimili ukame ,akiwa katika vipando vya kampuni ya kuzalisha mbegu ya Suba Agro katika eneo la Njiro Nane Nane.
 Mkulima Prisca Lokweni akieleza juu ya zao la alizeti na faida zake kiuchumi,zao hilo linatumika kutengeneza mafuta ya kupikia pia linahimili ukame ,akiwa katika vipando vya kampuni ya kuzalisha mbegu ya Suba Agro katika eneo la Njiro Nane Nane.
Mtaalamu wa kilimo Agnes Kibwana akifafanua juu ya kilimo cha ndizi aina ya grandnine ambayo hutumiwa kwa lishe na huwasaidia wakulima kuinua kipato, migomba hiyo iko kwa vipando vya kituo cha kueneza teknolojia ya kilimo Kanda ya Kaskazini (ATTC) kilichopo katika eneo la Njiro Nane Nane.

No comments:

Post a Comment

Pages