HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

July 29, 2014

SWALA YA EID EL FITR KITAIFA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR LEO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal  akipokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam  Mh. Said Meck sadiki   kwenye Swala ya Eid El Fitr iliyofanyika Kitaifa kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja,Jijini Dar es Salaam leo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohamed Gharib Bilal akipeana mkono na Mufti wa Tanzania, Shabaan Issa Simba.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohamed Gharib Bilal (wa tatu kutoka kulia),Sheikh Mkuu,Issa Shaaban Simba,Sheikh Mussa Salum wakijumuika na Waumini wengine wa Dini ya Kiislam kwenye Swala ya Eid El Fitr iliyofanyika Kitaifa kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja,Jijini Dar es Salaam leo.
Kamanda wa kanda Maalmu ya Dar es Salaam Suleiman Kova, sambamba na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mh. Said Meck Sadik wakiwa katika swala hiyo.
Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam,Sheikh Mussa Salum akitoa Khotuba katika Idada ya Swala ya Eid El Fitr iliyofanyika Kitaifa kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja,Jijini Dar es Salaam leo.

No comments:

Post a Comment

Pages