Wachezaji wa Coastal Union wakipanda Ndege kuelekea Pemba kwa ajili ya kuweka kambi
ya mazoezi kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa Ligi Kuu soka
Tanzania Bara,safari hiyo imedhaminiwa na wafadhili wa timu hiyo Kiwanda
cha Unga mkoani Tanga Pembe.
Mlinda
mlango wa kikosi cha U-20 Coastal Union, Fikirini Suleimani "Mapara "wa
kwanza mbeleni akiwa na viongozi wa Coastal Union uwanja wa Ndege
jijini Tanga kabla ya kupanda ndege kuelekea Pemba ambapo timu hiyo
inakwenda kuweka kambi ya mazoezi kwa ajili ya kujiandaa na msimu ujao
wa Ligi kuu soka Tanzania bara,safari hiyo imefadhiliwa na wafadhili wa
timu hiyo Kiwanda cha Unga Tanga Pembe.
No comments:
Post a Comment