HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

August 23, 2014

Real Madriad Legends yaitwanga Tanzania 3-1

Wachezaji wa akiba wa timu ya Tanzania 11.
Kikosi cha Tanzania 11 kilichoanza.
 Benchi la ufundi la Tanzania 11.
 Luis Figo akisalimiana na wachezaji wa Tanzania 11.
 Peter Manyika akisalimiana na Luis Figo.
 Rais Jakaya kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa Tanzania 11
 Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa Real Madrid Legends.
 Luis Figo (kushoto), akiruka juu kupiga mpira wa kichwa.
 Hekaheka langoni mwa Tanzania.
 Mohamed Mwameja akiwa ameshika kiuno baada ya kufungwa goli la kwanza.
 Rais Jakaya Kikwete akifurahia jambo na kocha Msaidizi wa Tanzania 11, Jamhuri Kiwhelo 'Julio' mara baada ya mchezo.
 Kiungo wa timu ya Real Madrid Legends, Christian Karembeu akichukua picha ya kumbukumbu na Rais Jakaya Kikwete.
Nzuri sana........
Mfunga wa mabao ya timu ya Real Madrid, Reuben akipokea mpira baada ya kupiga 'hat trick' katika mchezo huo.
Beki wa timu ya Tanzania 11, Shadrack Nsajigwa akichuana na mshambuliaji wa Real Madriad Legends, Luis Figo wakati wa mchezo wa Kimatifa wa Kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
 Mshambuliaji wa timu ya Real Madriad Legends, Luis Figo akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa Tanzania 11 wakati wa mchezo wa Kimatifa wa Kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
 Mshambuliaji wa timu ya Real Madriad Legends, Luis Figo akimiliki mpira mbele ya beki wa Tanzania 11, Shadrack Nsajigwa wakati wa mchezo wa Kimatifa wa Kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. 
Rais Jakaya Kikwete akikabidhi kombe kwa mchezaji wa Real Madriad Legends baada ya kuibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Tanzania 11 katika mchezo maalum wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)

No comments:

Post a Comment

Pages