HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

September 28, 2014

YANGA YAANZA LIGI RASMI YAICHAPA TANZANIA PRISONS 2-1

Mshambuliaji wa Yanga, Andrey Coutinho akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa Tanzania Prisons, Lauvian Mpalile (kushoto) na Jeremia Juma wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 2-1. (Picha na Francis Dande)
Mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngasa akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Tanzania Prisons, Lauvian Mpalile.
Jaja akimtoka beki wa Prisons, Nurdin.
 Jaja akimtoka beki wa Prisons, Nurdin.
 Beki wa Yanga, Juma Abdul akichuana na beki wa Prisons.
Mshambuliaji wa Yanga, Andrey Coutinho akiwania mpira na beki wa Prisons, Jumanne Elifadhil
 Mrisho Ngasa akiwatoka mabeki wa Prisons.
 Haruna Niyonzima akiwatoka walinzi wa Prisons.
Kocha wa Yanga, Marcio Maximo akiwapungia mkono mashabiki wa Yanga.
Wachezaji wakiingia Uwanjani.
 Wachezaji wa Prisons wakisalimiana na wenzao wa Yanga.
Kocha wa Yanga, Marcio Maximo akisalimiana na kocha wa Prisons.
 Kikosi cha Prisons kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wao na Yanga.
 Kikosi cha Yanga kikiwa katika picha ya pamoja.
Kocha wa Yanga, Marcio Maximo akishuhudia mchezo huo.
 Mashabiki wa Yanga wakiishangilia timu yao.
 Mashabiki wa Yanga wakiishangilia timu yao.
 Mashabiki wa Yanga wakiishangilia timu yao.
Jaja (katikati) akiwa amezungukwa na wachezaji wa Prisons.
Mrisho Ngasa akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Prisons.
Abdul Juma wa Yanga akipiga mpira huku beki wa Prisons akijaribu kumzuia.
Ngasa akiambaa na mpira.
 Kipa wa Prisons, Mohamed Omari akiruka juu kuokoa hatari langoni mwake.
Kipa wa Prisons, Mohamed Omari akiruka juu kuokoa hatari langoni mwake.
 Kipa wa Prisons, Mohamed Omari akiruka juu kuokoa hatari langoni mwake.
 Kipa wa Prisons, Mohamed Omari akiruka juu kuokoa hatari langoni mwake.
 Kipa wa Prisons, Mohamed Omari akiruka juu kuokoa hatari langoni mwake.
 Kipa wa Prisons, Mohamed Omari akiruka juu kuokoa hatari langoni mwake.
 Kipa wa Prisons, Mohamed Omari.

Mshambuliaji wa Yanga, Andrey Coutinho akishangilia bao la kwanza aliloifungia timu yake.

 Mshambuliaji wa Yanga, Andrey Coutinho akishangilia bao la kwanza aliloifungia timu yake.
 Mshambuliaji wa Yanga, Andrey Coutinho akishangilia bao la kwanza aliloifungia timu yake.
Andrey Coutinho akishangilia kwa staili ya kupiga magoti baada ya kufunga.
Wachezaji na viongozi wa Yanga wakishangilia bao la kwanza la timu hiyo.
Mashabiki wa Yanga wakipagawa kwa furaha.
Mohamedi Omari kipa wa Prisons akipata matibabu baada ya kuumia.

 Wachezaji wa Yanga wakibadilishana mawazo wakati wakienda mapumziko.
Mashabiki wa Yanga.
 Wachezaji wa Prisons wakitoka mapumziko.
 Mashabiki wa Yanga wakionyesha alama za vidole 3 kama ishara ya ushindi wa magoli 3.
Mashabiki wa Yanga wakionyesha alama za vidole 3 kama ishara ya ushindi wa magoli 3.

No comments:

Post a Comment

Pages