HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

October 21, 2014

KUPOTELEWA KWA NYARAKA MUHIMU

Vitu vilivyopotea ni begi lililokuwa na;
1. Laptop aina ya Acer
2. Simu kubwa ya Kirusi aina ya Oysters
3. Vyeti vya masomo
     a) Cheti cha form four - NECTA
     b) Cheti cha form six - NECTA
     c) Cheti cha Chuo (Digrii ya Kwanza ya Elimu Jamii na Ualimu) -UDSM
4. Vitambulisho mbalimbali ikiwemo kitambulisho cha Taifa.

Vyeti na nyaraka zote zinasomeka kwa jina la Deo Mbasa Daudi.

Mahali vilipopotelea ni maeneo ya Ofisi ya Posta Kijitonyama, jirani na TBC.

Taarida imetolewa Polisi Mabatini, Kijitonyama kwa RB Namba KJN/RB/9576/2014.

Tafadhali naomba msaada wenu katika namba hizi.

 0765 191 108 / 0716 646 177

No comments:

Post a Comment

Pages