HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

November 26, 2014

MAMIA WAJITOKEZA KATIKA MDAHALO WA KUJADILI KATIBA ILIYOPENDEKEZWA

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba akizungumza katika mdahalo ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere kuhusu Katiba inayopendekezwa na kufanyika jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba akizungumza katika mdahalo ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere kuhusu Katiba inayopendekezwa na kufanyika jijini Dar es Salaam. 
 Mwanaharakati wa mambo ya vijana Humphrey PolePole na aliyekuwa mjumbe wa Tume ya mabadiliko ya katiba akzungumza katika mdahalo huo.
Wananchi wakiwa katika foleni ya kuingia katika ukumbi wa mdahalo.

No comments:

Post a Comment

Pages