HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

January 14, 2015

SIMBA WATUA DAR, MASHABIKI WAFURAHIA USHINDI WA KOMBE LA MAPINDUZI

Mashabiki wa Simba wakishangaa basi la timu hiyo.

Mashabiki wa Simba wakishangaa basi la timu hiyo.

Mashabiki wa Simba wakimpongeza kipa wa timu hiyo, Manyika Peter mara baada ya kuwasili katika bandari ya Dar es Salaam wakitokea Zanzibar katika mashindano ya kombe la Mapinduzi.
Mashabiki wakiwaangalia wachezaji.
Manyika Peter Jr, akiwa na kombe la Mapinduzi.
Mashabiki wa Simba wakishangilia Ubingwa wa Kombe la Mapinduzi baada ya msafara wa wachezaji na viongozi wa timu hiyo kuwasili jijini Dar es Salaam jana ukitokea Zanzibar katika mashindano ya Kombe la Mapinduzi ambapo walishinda kwa penalti 4-3 dhidi ya Mtibwa Sugar. Wa pili kushoto ni kipa wa Simba, Manyika Peter.    
Mashabiki wa Simba wakishangilia Ubingwa wa Kombe la Mapinduzi baada ya msafara wa wachezaji na viongozi wa timu hiyo kuwasili jijini Dar es Salaam jana ukitokea Zanzibar katika mashindano ya Kombe la Mapinduzi ambapo walishinda kwa penalti 4-3 dhidi ya Mtibwa Sugar. Wa pili kushoto ni kipa wa Simba, Manyika Peter.    

Mashabiki wa Simba wakishangilia Ubingwa wa Kombe la Mapinduzi baada ya msafara wa wachezaji na viongozi wa timu hiyo kuwasili jijini Dar es Salaam jana ukitokea Zanzibar katika mashindano ya Kombe la Mapinduzi ambapo walishinda kwa penalti 4-3 dhidi ya Mtibwa Sugar. Wa pili kushoto ni kipa wa Simba, Manyika Peter.    

No comments:

Post a Comment

Pages