HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

May 11, 2015

JOHN GUDO NYERERE KUZIKWA BUTIAMA SIKU YA JUMATANO

Mtoto wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, John Guido Nyerere enzi za uhai wake ambapo mazishi yake yanatarajiwa kufanyika siku ya Jumatano Butiama.
Gari lililobeba mwili wa marehemu,  John Guido Nyerere.
 mwili ulipowasili nyumbani kwa Baba wa Taifa, Msasani.
Mwili ukishushwa.
Mwili ukishushwa nyumbani Msasani.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni akimkaribisha Waziri Mkuu Mizengo Pinda alipowasili nyumbani kwa Baba wa Taifa kwa ajili ya kutoa pole.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere na Mkuu wa  Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda wakati wa msiba wa mtoto wa Nyerere, John Nyerere. 
Waziri Mkuu, Mizengo, Pinda (wa pili kushoto) alipofika nyumbani kwa baba wa Taifa kutoa pole.
Waziri Mkuu akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza la mtoto wa baba wa taifa, John Nyerere.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpa pole mama Maria Nyerere.
Waziri Mkuu akiwapa pole ndugu wa marehemu.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na mbunge wa Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere.
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa akisalimiana na Makongoro Nyerere.
Dk. Slaa akiteta jambo na Makongoro Myerere.
Makongoro Nyerere (kulia) akiwa na Dk. Slaa alipofika kutoa pole nyumbani kwa mwalimu.
Dk. Slaa akisaini kitabu cha waombolezaji.
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willbrod Slaa akimpa pole mama Maria Nyerere.
Dk. Slaa akiwapa pole ndugu wa marehemu.

No comments:

Post a Comment

Pages