HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

July 24, 2015

MICHUANO YA KOMBE LA KAGAME: YANGA YAITUNGUA KMKM 2-0

 Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma akimtoka beki wa KMKM, Khamis Ali Khamis wakati wa mchezo wa Kombe la Kagame uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 2-0.
 Deus Kaseke akiwatoka wachezaji wa KMKM.
 Golikipa wa timu ya KMKM ya Zanzibar, Nassor Abdulla Nassor akiokoa moja ya hatari langoni mwake wakati timu yake ilipopambana na Yanga katika mchezo wa Kombe la Kagame.
Donald Ngoma (kulia) akiwania na beki wa KMKM, Khamis Ali Khamis.
Mashabiki wa Yanga wakishangilia timu yao.

No comments:

Post a Comment

Pages