Sehemu ya Wananchi wa Mji wa Sumbawanga, waliofurika kwa wingi
kwenye Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga, wakiishangilia Ndege iliyombeba Mgombea
Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA
kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa,
wakati ikiwasili Uwanjani hapo. (Picha na Othman Michuzi)
Sehemu ya Wananchi wa Mji wa Sumbawanga, waliofurika kwa wingi
kwenye Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga, wakiishangilia Ndege iliyombeba Mgombea
Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA
kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa,
wakati ikiwasili Uwanjani hapo
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Freeman Mbowe, akihutubia Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Kizwitwe, Sumbawanja Mjini.
Mgombea Urais wa
Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama
cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akihutubia
Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Kizwitwe, Sumbawanja Mjini.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa
UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward
Lowassa akimnadi kwa wananchi, Mgombea Ubunge wa Jimbo la Sumbawanga
Mjini, Ikuo Malila, katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni za Mgombea
Urais hiyo, uliofanyika kwenye Uwanja wa Kizwitwe, Sumbawanja Mjini.
Mwenyekiti wa Chama
cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Freeman Mbowe, akizungumza
wakati akitolea taarifa swala na ratiba ya Mikutano ya Kampeni za Mgombea
Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA
kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa
(kushoto) uliofanyika kwenye Uwanja
wa Kizwitwe, Sumbawanja Mjini, leo Sepremba 2, 2015.Kulia ni Mke wa Mh.
Lowassa, Mama Regina Lowassa. Picha na Othman Michuzi.
Mgombea
Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA
kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Mkewe, Mama Regina Lowassa, wakiwapungia mikono maelfu ya wananchi wa Sumbawanga Mjini, waliofurika kwenye Uwanja wa Kizwitwe.
No comments:
Post a Comment