HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

May 31, 2016

MDAU OTHMAN MANGUBE NA MKEWE BI MARIAM WAWASHUKURU WADAU,WASHEREHEKEA MWAKA MMOJA WA NDOA YAO


Pichani Mdau Othman Mangube akiwa sambamba na mkewe Bi Mariam Swedy wakiwa katika nyuso za furaha, mara baada ya kufunga ndoa yao hapo mwaka jana, ambapo leo Wanamshukuru Mungu kwa kuvuka milima na mabonde mengi katika mazingira tofauti tofauti ya maisha na sasa Wanatimiza mwaka mmoja wa Ndoa yao,ambayo wao bado wanaamini ni changa,lakini kwa rehma na baraka za Mwenyezi Mungu atawasimamia na kuwaongoza katika mstari ulio nyoofu na kuwafikisha miaka mingi zaidi.

"Pia tunawakia heri ndugu jamaa na marafiki popote pale mlipo,tunawashukuru sana kwa ushirikiano wenu mlioutoa wakati wa kuifanikisha ndoa hii,nawashukuru sana na tuendelee na ushirikiano huo,sina cha kuwalipa lakini Mwenyezi Mungu atawalipa zaidi."Asanteni sana
Bwana Othman Mangube akiwa na Mkewe Bi Mariam Swedy katika pozi la picha

No comments:

Post a Comment

Pages