HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

June 27, 2016

MWALIMU WA KWAYA YA MOYO MT. WA YESU ADAM MABIKI AUKIMBIA UKAPELA

Hayawi hayawi yamekuwa Adam Steven Mabiki na Dominica Thadei Kissela wakiwa katika pozi la piwa  mara baada ya kufunga ndoa yao katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es Salaam, Juni,18 ,2016 na kufauatiwa na shereha ya kukata na shoka iliyoifanyika kwenye ukumbi wa Alli Hassan Mwinyi uliopo Chuku Kikuu Huria jijini Dar es Salaam.
 Hayawi hayawi yamekuwa Adam Steven Mabiki na Dominica Thadei Kissela wakiwa katika pozi la piwa  mara baada ya kufunga ndoa yao katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es Salaam, Juni,18 ,2016 na kufauatiwa na shereha ya kukata na shoka iliyoifanyika kwenye ukumbi wa Alli Hassan Mwinyi uliopo Chuku Kikuu Huria jijini Dar es Salaam.

 Bwanaharusi na bibi harusi Adam Steven Mabiki na Dominica Thadei Kissela, wakiwa na wasimamizi wao Dk.Evodius Zege na Sophia Nchini kwenye picha ya pamoja  mara baada ya kufunga ndoa yao katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es Salaam, Juni,18 ,2016 na kufauatiwa na shereha ya kukata na shoka iliyoifanyika kwenye ukumbi wa Alli Hassan Mwinyi uliopo Chuku Kikuu Huria jijini Dar es Salaam.
 Hayawi hayawi yamekuwa Adam Steven Mabiki na Dominica Thadei Kissela wakiwa katika pozi la piwa  mara baada ya kufunga ndoa yao katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es Salaam, Juni,18 ,2016 na kufauatiwa na shereha ya kukata na shoka iliyoifanyika kwenye ukumbi wa Alli Hassan Mwinyi uliopo Chuku Kikuu Huria jijini Dar es Salaam.
 Wapambe wa bwanaharusi Adam Steven ambao ni wanakwaya wa Moyo mtakatifu wa Yesu wakiwa wamembeba bibi harusi Dominica wakati walipokuwa wapiga picha Cocobeach.
 Mr,& mrs Adam Steven Mabiki wakiwa kwenye picha ya pamoja katika ufukwe wa bahari ya hindi Cocobeach jijini Dar es Salaam.
 Wapembe wakiwa katika picha ya pamoja na maharusi Adam na Dominica.
Sebene linapokolea ukumbini

No comments:

Post a Comment

Pages