Naibu Spika Dk. Tulia Ackson akimsalimia mke wa mbunge wa Mkuranga Abdalla Ulega aitwae Mariam Abdallah alipofika kumpongeza kujifungua mtoto wa kike na kumpa jina la Naibu Spika huyo. (Picha na Loveness Bernard)
Naibu Spika Dr Tulia Ackson akiwa amembeba mtoto wa mbunge wa Mkuranga aitwae Tulia Abdallah Ulega katika hospitari ya mhimbili jijini Dar es Salaam.
Naibu Spika akizungumza na waadishi wa habari.
No comments:
Post a Comment