Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa mkutano 19 wa SADC wa Kamati za Usafiri
wa Anga uliofanyika jijini Dar es Salaam leo. (Picha na Francis Dande)
Picha ya pamoja.
Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa akitoa hotuba
yake wakati wa uzinduzi wa mkutano 19 wa SADC wa kamati za usafiri
wa Anga uliofanyika jijini Dar es Salaam. Wa pili kushoto ni
mwakilishi wa SADC ICAO, Raphael Bokango, Mwenyekiti wa SADC kamati
ya Usafiri wa Anga, Geoffrey Moshabesha na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya
Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Hamza Johari (Kulia).
No comments:
Post a Comment