HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

August 27, 2016

MWANDISHI WA HABARI MARY LYIMO KUZIKWA LEO

Mwandishi wa Habari Mary Jovian Lyimo amefariki dunia Agosti 23 baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa Kansa ya Ini, kwa mujibu wa Dada wa marehemu, Liliani Jovian Lyimo amesema kuwa marehemu enzi za uhai wake aliwahi kufanya kazi katika Shirika la Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASCO), kama Ofisa habari wa sgirika hilo, pia alifanya kazi katika Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).

Marehemu atazikwa leo Agosti 27 saa nane katika makaburi ya Kondo Kunduchi jijini Dar es Salaam. Mungu ailaze roho ya marehemu  mahali pema peponi amani.
 

No comments:

Post a Comment

Pages