HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

September 23, 2016

TSN YADHAMINI MECHI YA BONGO MOVIE NA BONGO FLAVA KUCHANGIA WAATHIRIKA WA TETEMEKO LA ARDHI BUKOBA

Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Biashara TSN, Jahu Mohammed Kessy akiwakabidhi wasanii jezi kwa ajili ya mechi ya kuchangia maafaa ya tetemeko la ardhi Bukoba
Kampuni ya TSN  Kwa kushirikiana na Wasanii wa bongo fleva na bongo Movie wamejitokeza kuwezesha mechi maalum kuchangia wahanga wa Tetemeko la Ardhi lililotokea Bukoba mkoani Kagera.

No comments:

Post a Comment

Pages