HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

December 29, 2016

TAARIFA KWA UMMA KUTOKA KWA BANK OF AFRICA TANZANIA


Mpendwa Mteja,
YAH: KUFUNGWA KWA BENKI SIKU YA JUMAMOSI, 31/12/2016
Tunapenda kukujulisha kwamba benki itafungwa siku ya Jumamosi, tarehe 31/12/2016. kwaajili ya kupisha uboreshaji wa mfumo wa kiufundi wa benki na huduma zitarejea kama kawaida siku ya jumatatu, tarehe 2/01/2017.
Ijumaa, 30 Desemba 2016
Tutakuwa wazi kuanzia saa                           2: 30 Asubuhi -10:00 Jioni
Jumamosi, 31 Desemba 2016
Tutafunga kupisha uboreshaji wa mfumo wa kiufundi wa Benki
Jumatatu , 2 Januari 2017
Kurejea kwa Huduma
Unashauriwa kufanya miamala yote ya muhimu kabla ya siku tajwa hapo juu, ili kuepusha ucheleweshaji usio wa lazima.
Huduma za kibenki kwa njia ya mtandao (Internet Banking), ATMs na Visa cards zitaendela kupatikana kama kawaida katika kipindi tajwa hapo juu.
Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza na tunawahakikishia dhamira yetu ya kuendelea kuwahudumia ipasavyo. Kwa maelezo Zaidi tafadhali tembelea tawi letu lolote lililo karibu nawe au piga 0782 262 291.
Tunakutakia Heri ya Mwaka Mpya wa 2017.
Imetolewa na Utawala
28.12.2016

No comments:

Post a Comment

Pages