HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

January 12, 2017

CHADEMA KUKATA RUFAA HUKUMU YA MBUNGE WA KILOMERO

 Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, kuhusu nia ya chama hicho kukata rufaa dhidi ya hukumu ya kifungo cha miezi 6 jela iliyotolewa na mahakama ya wilaya ya Kilosa kwa mbunge wa jimbo la Kilosa, Peter Jualikali. (Picha na Francis Dande).

 Lissu akifafanua jambo.
Tunakata rufaa.
Waandishi wakiwa kazini.

No comments:

Post a Comment

Pages