HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

January 14, 2017

JOSEPH MWANUKUZI NA MARIAM WAMEREMETA LEO

 Joseph Mwanukuzi akiwa amepozi na mke wake Mariam wakati wa Ibada ya Ndoa yao iliyofanyika katika Kanisa la St. Peter Oysterbay jijini Dar es Salaam leo.
Joe na mke wake wakielekea kula kiapo cha ndoa.
Joseph akimvisha pete ya ndoa mke wake Mariam.
Mariam akimvisha pete ya ndoa mume wake Joseph.
Jose akimkumbatia mke wake baada ya kuvalishana pete za ndoa.
Josephna Mariam wakioneesha pete zao za ndoa.
Mmeona....
Bwana na Bi. harusi wakiwa katika pozi.
Mapozi.....
Wakiwa na kila aina ya furaha.
Bwana harusi akihakikisha Bi. harusi anakuwa katika hali ya kupendeza muda wote.
Akiweka sawa vazi la Bi. harusi.
Bwana harusi akiweka saini cheti cha ndoa.
Bi, harusi akiweka saini cheti cha ndoa.
Maharusi wakionesha shahada zao za ndoa.
Joseph na Mariam wakitoka kwa furaha baada ya kufunga ndoa takatifu katika kanisa la St. Peter Oysterbay jijini Dar es Salaam leo.
Ndugu na jamaa wakiwapongeza.
Picha ya pamoja.
Picha ya pamoja.
 Joseph na Mariam.
................Wakiingia katika gari.
Bi. harusi akiwa amepozi kwa picha.
Mapozi.
Wakiwa katika pozi.
Ni furaha tupu.
Busu takatifu....
Gari la maharusi likiondoka kanisani.
Maharusi wakiingia katika ukumbi wa Cardinal St. Lugambwa Oysterbay. 
 Christina Kwayu akiongozi maombi kabla ya kuanza kwa sherehe.
 Maharusi wakikata keki.
 Bi. Harusi akimlisha keki Bw. harusi.
Cheears
Carlo na Khadija  
 Kutoka kulia ni Damas, Gee, Carlo 
Joseph na Damas (kushoto). 
 Cheers.
Cheers. 
Joe na Dande. 










No comments:

Post a Comment

Pages