HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

February 17, 2017

BONANZA LA KUHAMASISHA MAZOEZI, UCHANGIAJI DAMU NA UPIMAJI AFYA

RATIBA YA BONANZA LA  KUHAMASISHA MAZOEZI, UCHANGIAJI DAMU NA UPIMAJI AFYA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA, DAR ES SALAAM  JUMAMOSI TAREHE 18/2/2017


Na.
                Tukio
Mhusika
Muda
1
Kuw Washiriki kuwasili

Kamati ya Maandalizi
11.30 - 12.00 Asubuhi
2
Kuwasili Mgeni rasmi

Kamati ya Maandalizi

12.00 – 12.10 Asubuhi
3
Mazoezi ya mwanzo ( warm up)

Kamati ya Maandalizi/ wakufunzi wa Mazoezi

12.10 – 12.25 Asubuhi
4.
Matembezi ya Mazoezi

Kamati ya Maandalizi/ wakufunzi wa Mazoezi

12.25 – 1.25 Asubuhi
5.
Mazoezi ya kulainisha viungo baada ya Matembezi

Kamati ya Maandalizi/ wakufunzi wa Mazoezi

1.25 – 1.55 Asubuhi
6

Burdani

1.55 – 2.10 Asubuhi
7.
Taarifa fupi kuhusu Madhumuni ya Bonanza
Chama cha Maafisa Mawasiliano Serikalini (TAGCO)
2.10 – 2.15 Asubuhi
8.
Kumkaribisha Mgeni Rasmi
Jukwaa la Wahariri (TEF)
2.15-2.20 Asubuhi
9.
Hotuba ya Mgeni rasmi

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb)
2.20 – 2.40  Asubuhi
10.
Neno la Shukran


Klabu ya Waandishi wa Habari wa Jiji la Dar es Salaam (DCPC)
2.40 -2.45 Asuhihi
11.
Burdan

2.45-3.00 Asubuhi
12.
Kutembelea mabanda ya upimaji Afya bila malipo na Mgeni rasmi kuondoka.

Mgeni rasmi/Viongozi
3.00 – 3.30 Asubuhi

Burdani Kuendelea

3.30 Asubuhi na Kuendelea
13.

Kuendelea na Bonanza, utoaji damu na upimaji Afya
Wote
3.30  Asubuhi na Kuendelea



No comments:

Post a Comment

Pages