HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

March 04, 2017

JAFFO AZITAKA HALMASHAURI NCHINI KUCHAPA KAZI KWA BIDII

Mkuu wa wilaya ya Longido mkoa wa Arusha, Godfrey Chongolo akizungumza wakati wa zira ya Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi), Mh. Suleiman Jaffo (kulia)anayesikiliza kwa makini na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa halamshauri ya Longido, Juma Mhina.


Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi),Mh.Suleiman Jaffo akizungumza na wananchi wa Kata ya Makuyuni wilaya ya Monduli mkoa wa Arusha baada ya kukagua ujenzi wa Kituo cha Afya,serikali imetenga kiasi cha Sh 700 milioni kwaajili ya upanuzi wa Kituo cha Afya Mto wa Mbu.

No comments:

Post a Comment

Pages