Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania, Salim Msangi (kushoto),
akizungumza na wakati Kamati ya Bunge ya Miundombinu ilipotembelea mradi wa Ujenzi wa Jengo la Tatu la Abiria katika Kiwanja cha
Ndege cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo. (Picha na Francis Dande).
Baadhi ya wafanya kazi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania, wakiwa katika Mkutano wa baada ya Kamati ya Bunge Kutembelea Mradi huo.
Wajumbe wa Kamati wakiwa katika mkutano.
Mwenyekiti wa Bodi ya
Ushauri ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (MAB), Mhandisi Prof.
Ninatubu Lema akielezea masuala mbalimbali ya ujenzi wa jengo la tatu la
abiria kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu ilipofanya ziara
kwenye jengo hilo linaloendelea kujengwa na linatarajiwa kumalizika
Desemba 2017.
Baadhi ya wafanya kazi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania, wakiwa katika Mkutano wa baada ya Kamati ya Bunge Kutembelea Mradi huo.
Wajumbe wa Kamati wakiwa katika mkutano.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania, Salim Msangi (kushoto), akifafanua jambo kwa baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu walipotembelea mradi wa Ujenzi wa Jengo la Tatu la Abiria katika Kiwanja cha Ndege cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania, Salim Msangi (kushoto), akifafanua jambo kwa baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu walipotembelea mradi wa Ujenzi wa Jengo la Tatu la Abiria katika Kiwanja cha Ndege cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania, Salim Msangi (kushoto), akifafanua jambo kwa baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu walipotembelea mradi wa Ujenzi wa Jengo la Tatu la Abiria katika Kiwanja cha Ndege cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania, Salim Msangi (kushoto), akifafanua jambo kwa baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania, Salim Msangi (kushoto), akiwaongoza baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu.
No comments:
Post a Comment