Naibu
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo BI. Nuru Milao
(kulia) akichangia mada katika
kikao Kazi cha Maafisa Mawasiliano
Serikalini kinachoendelea katika ukumbi wa Hazina mkoani Dodoma, kushoto ni
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Bw. Hassan Abbas. (Picha na Benjamin Sawe-Maelezo).
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Bw. Hassan Abbas (kushoto) akichangia mada katika kikao Kazi cha Maafisa Mawasiliano Serikalini kinachoendelea katika ukumbi wa Hazina mkoani Dodoma, kulia ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo BI. Nuru Milao.
Mtendaji Mkuu Wakala wa Serikali Mtandao Dkt. Jabiri Bakari akitoa mada juu ya hali halisi ya uhuishaji wa Taarifa za Serikali kwenye Tovuti Kuu ya Serikali na Taasisi za Serikali katika Kikao Kazi cha Maafisa Mawasiliano Serikalini kinachoendelea katika ukumbi wa Hazina mkoani Dodoma.
Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Idara ya Habari (Maelezo) Bi. Zamaradi Kawawa akichangia mada katika kikao Kazi cha Maafisa Mawasiliano Serikalini kinachoendelea katika ukumbi wa Hazina mkoani Dodoma.
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano TBC Bi. Edna Rajabu akichangia mada katika kikao Kazi cha Maafisa Mawasiliano Serikalini kinachoendelea katika ukumbi wa Hazina mkoani Dodoma. Afisa Habari Mwandamizi Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bi. Margareth Chambili akichangia mada katika kikao Kazi cha Maafisa Mawasiliano Serikalini kinachoendelea katika ukumbi wa Hazina mkoani Dodoma.
Afisa Uhusiano na Huduma kwa Wateja TANESCO Bi. Neema Mbuja akichangia mada katika kikao Kazi cha Maafisa Mawasiliano Serikalini kinachoendelea katika ukumbi wa Hazina mkoani Dodoma.
No comments:
Post a Comment