HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

April 27, 2017

KUTOKA BUNGENI DODOMA

 Mkuu, Kassim Majaliwa  na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) wakifurahia kuona medali ya dhahabu aliyoivaa Mwanaridha Alphonce Simbu  ambayo aliinyakuwa katika  mashindano ya Mumbai  Marathon nchini India na tuzo aliyoipata hivi karibuni baada ya kushika nafasi ya tano katika mashindano ya London Marathon. Waziri Mkuu alikutana na mwanariaha huyo kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Aprili 27, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
PMO 4510 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Kahama mjini , Jumanne Kishimba kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Aprili 27, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wabunge wa  Chama cha CUF kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Aprili 27, 2017. Kutoka kulia ni Riziki Mngwali wa Viti Maalum,  Saed Kubenea wa Ubungo (Chadema), Juma Kombo Hamad wa Wingwi, Abdallah Mtolea wa Temeke  na  Haji Khatib Said wa Konde.

No comments:

Post a Comment

Pages