HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

April 29, 2017

SIMBA YATANGULIA FAINALI YA FA

Mshambuliaji wa Simba, Mohamed Ibrahim ‘Mo’ (kushoto), akishangilia na beki wa timu hiyo, Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ baada ya kufunga bao pekee katika mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Azam FC uliofanyika leo Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande).
Himid Mao akichuana na Mohamed Ibrahim.
Mashabiki wakishuhudia mchezo huop huku wakinyeshewa na mvua.
Mashabiki wa Simba wakishuhudia pambano la timu yao na Azam. 
Kipa wa Azam FC, Aishi Manula.
Mohamed Ibrahim 'Mo' (katikati), akiwania mpira na wachezaji wa Azam.
Beki wa Azam, Shomari Kapombe akichuana na Ibrahim Ajibu.
Mshambuliaji wa Simba, Mohamed Ibrahim 'Mo' akimlalamikia mwamuzi, Mathew Akrama kutoka Mwanza baada ya kuonyeshwa kadi nyekundu.
Kocha wa Simba, Jackson Mayanja akitoa maelekezo kwa wachezaji wake.
Mshambuliaji wa Simba, Laudit Mavugo akiwania mpira na wachezaji wa Azam FC.
Mshambuliaji wa Simba, Laudit Mavugo akichuana na wachezaji wa Azam FC.
Mshambuliaji wa Simba, Fredrick Blagnon akipiga shuti.
Nahodha wa Simba, Jonas Mkude akitoa maelekezo kwa wenzake.
Nahodha wa Simba, Jonas Mkude akitoa maelekezo kwa wenzake.
Mwamuzi, Mathew Akrama kutoka Mwanza akimsimamia kipa wa Simba wakati akivaa gloves zake. 
Kocha wa Simba Joseph Omog akipeana mkono na kocha msaidizi wa Azam FC, Idd Cheche.
Kocha wa Simba Joseph Omog akipeana mkono na kocha msaidizi wa Azam FC, Idd Cheche.
Waamuzi wakitoka chini ya ulinzi baada ya mchezoa kumalizika.
Waamuzi wakitoka chini ya ulinzi baada ya mchezoa kumalizika.
Kocha wa Simba, Joseph Omog akipongezana na msaidizi wake, Jackson Mayanja.

No comments:

Post a Comment

Pages