HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

April 06, 2017

WATEJA WA BENKI YA CRDB WAFURAHIA HUDUMA YA SIMBANKING MOSHI

 Ofisa Mauzo wa Benki ya CRDB, Tabia Manoro akimueleza mteja namna ya kujiunga na huduma ya SimBanking kupitia ATM katika Tawi la Benki hiyo mjini Moshi.
 Ofisa Mauzo wa Benki ya CRDB, Tabia Manoro (kushoto), akimuunganisha mteja kwenye huduma ya  SimBanking, ili kumuwezesha kupata huduma za kibenki kupitia simu ya mkononi.

No comments:

Post a Comment

Pages