HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

May 27, 2017

TAWLA YAFANYA MKUTANO WAKE WA MWAKA

1
Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania (TAWLA) Bi. Athanasia Soka akfungua mkutano wa mwaka wa Chama hicho ulioshirikisha wanachama wake ambao ni wanasheria wanawake, Mkutano huo umefanyika leo kwenye Hoteli ya New Afrika jijini Dar es salaam na kujadili mambo kadhaa yakiwemo mafanikio na changamoto zinazokabili chama chao pamoja na jamii kwa ujumla wake. (Picha na John Bukuku).3
Kutoka kulia ni Maria Matui Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wanawake Wanasheria Tanzania (TAWLA), Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania (TAWLA) Bi. Athanasia Soka, Tike Mwambipile Mkurugenzi Mtendaji wa (TAWLA) na Lulu Ngwanakilala Mtoa mada katika mkutano huo wakifuatilia mambo mbalimbali yaliyojadiliwa na washiriki wa mkutano huo.
4
Mtoa mada Shamshard Remhamtulla akizungumza katika mmkutano huo uliofanyika leo jijini Dar es salaam.
5
Kutoka kulia ni Maria Matui Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wanawake Wanasheria Tanzania ( TAWLA), Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania (TAWLA) Bi. Athanasia Soka, Tike Mwambipile Mkurugenzi Mtendaji wa (TAWLA_
6
Lulu Ngwanakilala Mtoa mada akizungumza jambo na washiriki wa mkutano wa Chama cha Wanasheria wanawake wa mwaka uliofanyika leo jijini Dar es salaam.
9
Maria Matui Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wanawake Wanasheria Tanzania ( TAWLA) akielezea baadhi ya taratibu katika mkutano huo.
10
Baadhi ya washiriki wa mkutano huo Wanasheria wanawake wakifuatilia mada.
21
Mmoja wa watoa mada Balozi Mwanaidi Sinare Maajar kushoto akifuatilia jambo katika mkutano huo kulia ni Mariam Mungula na baadhi ya washiriki.

No comments:

Post a Comment

Pages