HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

June 15, 2017

BENKI YA CRDB KUADHIMISHA SIKU YA MTOTO WA AFRIKA KWA KUFUNGUA AKAINTI ZA WATOTO PAMOJA NA KUTOA ELIMU YA MASUALA YA FEDHA NA UWEKEZAJI


  Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, akizungumzia maadhimisho ya siku ya kimataifa ya mtoto wa Afrika jijini Dar es Salaam jana, ambapo Benki ya CRDB itaadhimisha siku hiyo kwa kufungua akaunti za watoto ‘Junior Jumbo Account’ na kutoa elimu ya masuala fedha na uwekezaji. 

No comments:

Post a Comment

Pages