HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

June 10, 2017

BULEMBO ATINGISHA CHATO, MKURUGENZI WA ULINZI NA USALAMA CHADEMA AHAMIA CCM

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alahj Abdallah Bulembo akizungumza na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Chato, Wajumbe wa Mabaraza ya Juuia za CCM, Madiwani, Mabalozi na Watendaji wa Serikali, katika Ofisi ya CCM ya Wilaya hiyo mkoani Geita, leo Juni 9, 2017.
Wajumbe wakishangilia Ukumbini wakati Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Bulembo alipowasulu ukumbini kwenye kikao hicho
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Bulembo akiingia ukumbini kuemdesha kikao hicho, leo
Wasanii wa Kikundi cha CCM, wakitumbuiza kuchangamsha kabla ya kuanza kikao hicho, leo.
Mkuu wa Wilaya ya Chato Shabani akimkabidhi taarifa ya Wilaya hiyo.
Wajumbe ukumbini
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alahj Abdallah Bulembo akizungumza na wajumbewa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Chato, Wajumbe wa Mabaraza ya Juuia za CCM, Madiwani, Mabalozi na Watendaji wa Serikali, katika Ofisi ya CCM ya Wilaya hiyo mkoani Geita, leo Juni 9, 2017. 

No comments:

Post a Comment

Pages