HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

June 30, 2017

TANGAZO KWA UMMA

Menejimenti ya Mfuko wa Pensheni wa LAPF inapenda kuwafahamisha Wanachama na Umma kwa ujumla kuwa Ofisi ya Kanda ya Dar es Salaam iliyopo Mtaa wa Mkwepu, Jengo la Diplomatic House, katikati ya jiji la Dar es Salaam itahamia rasmi kwenye jengo la LAPF Millenium Towers, ghorofa ya tatu, lililopo barabara ya Ali Hassan mwinyi eneo la Makumbusho kuanzia tarehe 01/07/2017. Hivyo wanachama na wadau wote wa Mfuko wataendelea kupata huduma kulingana na matarajio yao katika mazingira yaliyoboreshwa zaidi. Karibuni sana tuwahudumie.


“Ishi na Staafu kwa Ufahari na LAPF”

No comments:

Post a Comment

Pages