Shabiki wa soka akiwa amemkumbatia mshambuliaji wa Everton, Wayne Rooney wakati wa mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya Gor Mahia uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa. (Picha na Daily Mail).
Mshambuliaji wa Everton, Wayne Rooney (katikati), akipiga mpira uliozaa bao la kwanza la timu yakekatika mechi dhidi ya Gor Mahia kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaa leo.(Picha na Daily Mail).
No comments:
Post a Comment