Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwaeleza wananchi wa Kijiji cha Kiangala jinsi serekali ya awamu ya tano inavyo shughulikia kero za za wananchi Nchini Wananchi hao walijitokeza July 10, 2017 ili waweze kumueleza kero zinazo wasumbua Waziri yupo Wilayani Liwale Mkoa wa lindi Kwaziara ya Kikazi ya siku Nne. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuuu
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akihutubia umati wa wananchi wa wilaya ya liwale waliojitokeza kuja kumsikliza Michezo wa wilaya ya Liwale July 10, 2017 Waziri Mkuu yupo wilayani Liwale Mkoani Lindi kwa ziara ya Kikazi katika Mkoa wa LINDI.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Mkewe Mery Majaliwa wametembelea Hospitali ya Wilaya ya Liwale Julai 10, 2017 na kuwazawadia watoto mapacha wenye Siku Mbili walio zaliwa katika Hospital ya Liwale Waziri Mkuu yupo wilayani Liwale Mkoani Lindi kwa ziara ya Kikazi katika Mkoa wa LINDI.
No comments:
Post a Comment