HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

October 05, 2017

BENKI YA CRDB YASHEREHEKEA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, akizungumza na wateja wa benki hiyo Tawi la Oysterbay jijini Dar es Salaam ikiwa ni maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF), Godfrey Simbeye, akizungumza wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja iliyoandaliwa na Benki ya CRDB na kufanyika katika tawi Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Meneja wa Benki ya CRDB, Tawi la Oysterbay, Juliana Mhimbira, akizungumza na wateja wa tawi hilo katika maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja.
 Meneja Mikopo ya wafi, Rehema Shambwe,  akizungumza wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja iliyofanyika katika Tawi la Oysterbay.
 Ofisa wa Benki ya CRDB, Grace Mgaya, akizungumza katika hafla hiyo.
 Maofisa wa Benki ya CRDB, wakiwa wamepozi kwa picha.
 Wateja wa Benki ya CRDB wakiwa katika hafla hiyo.
Wateja wa Benki ya CRDB wakiwa katika hafla hiyo.
Wateja wakiwa katika hafla hiyo.
Maofisa wa Benki ya CRDB wakiwa katika picha ya pamoja.
Meneja wa Benki ya CRDB, Tawi la Oysterbay, Juliana Mhimbira,akiwa amepozi kwa picha na maofisa wa benki hiyo.
 Meneja wa Benki ya CRDB, Tawi la Oysterbay, Juliana Mhimbira,akimkabidhi tuzo maalum Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei.
Keki.
  Mkurugenzi wa Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF), Godfrey Simbeye (kushoto), akikata keki pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (katikati), wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja iliyofanyika katika tawi la benki ya CRDB Oysterbay jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Meneja wa Benki ya CRDB Tawi la Oysterbay, Juliana Mhimbira.
Pokea keki.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei , akimlisha keki Mkurugenzi wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TPSF), Godfrey Simbey, wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja iliyofanyika katika tawi la benki ya CRDB Oysterbay.
 Meneja wa Benki ya CRDB Tawi la Oysterbay, Juliana Mhimbira, akilishwa keki na Dk. Charles Kimei.  
 Wateja wakipata keki.
 Wateja wa Benki ya CRDB wakiwa katika hafla hiyo.
Wateja wa Benki ya CRDB Tawi la Oysterbay wakiwa katika sherehe za Wiki ya Huduma kwa Wateja.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (kulia), akimkabidhi zawadi mteja wa benki hiyo, Josephine Mutahangarwa, wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja iliyofanyika katika tawi la benki ya CRDB Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (kulia), akimkabidhi zawadi mmoja wa wateja wa benki hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (kulia), akimkabidhi zawadi Mkurugenzi wa Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF), Godfrey Simbeye, wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja iliyofanyika katika tawi la benki ya CRDB Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF), Godfrey Simbeye (kushoto), akikata keki pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (katikati), wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja iliyofanyika katika tawi la benki ya CRDB Oysterbay jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Meneja wa Benki ya CRDB Tawi la Oysterbay, Juliana Mhimbira.
Dk. Chales Kimei, akimkabidhi zawadi mmoja wa wateja wa benki hiyo.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akisindikizwa na Meneja wa Tawi la Oysterbay, Juliana Mhimbira wakati akiondoka katika tawi hilo.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, akizungumza na wafanyakazi wa benki hiyo tawi la Azikwe Premier ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja.
 Mkurugenzi wa tawi la Azikiwe Premier, Fabiola Mussula (kulia), akiwa na baadhi ya wafanyakazi wa tawi hilo.
 Baadhi ya maofisa wa Benki ya CRDB tawi la Azikiwe Premier.
 Maofisa wa Benki ya CRDB wakimsiliza Dk. Chales Kimei (hayupo pichani).


 Dk. Charles Kimei akikata keki na Mkurugenzi wa tawi la Azikiwe Premier, Fabiola Mussula.
 Mkurugenzi wa tawi la Azikiwe Premier, Fabiola Mussula, akilishwa keki na Dk. Chales Kimei.
Wateja wakilishwa keki na Dk. Charles Kimei.
 Mkurugenzi wa tawi la Azikiwe Premier, Fabiola Mussula, akizungumza na wateja wa tawi hilo.
Dk. Kimei akikabidhi zawadi Meneja wa Kampuni ya Lue, Nasibu Sang'anya.
Digna Elias akipokea zawadi yake.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, akimkabidhi zawadi Mkurugenzi wa Kampuni ya Forest Inn Park, Christopher Mtei.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Yono Auction Mart, Stanley Kavela, akipokea cheti kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja iliyoandaliwa na benki ya CRDB tawi la Azikiwe Premier.

No comments:

Post a Comment

Pages