HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

October 09, 2017

BENKI YA CRDB YATOA SEMINA KWA WAFANYABIASHARA NA WAJASIRIAMALI WA DODOMA


Mkurugenzi wa Benki ya CRDB tawi la Dodoma, Rehema Hamis, akimkaribisha Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei kufungua semina iliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya Wafanyabiashara na Wajasiriamali wa Dodoma wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja. (Picha na Francis Dande).
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, akitoa hotuba yake wakati wa ufunguzi wa semina ya iliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya Wafanyabiashara na Wajasiriamali wa Dodoma wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja iliyofanyika mkoani Dodoma, mwishoni mwa wiki.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, akizungumza katika semina hiyo.

Dk. Charles Kimei akipongezwa baada ya kutoa hotuba ya ufunguzi wa semina ya Wafanyabiashara na Wajasiriamali mkoani Dodoma.

Dk. Charles Kimei, akipongezwa na mfanyabiashara wa mkoani Dodoma, Suzana Kweka, baada ya kutoa hotuba yake.
Mkuu wa Kitengo cha Wajasiriamali cha Benki ya CRDB, Elibariki Masuke akitoa mada katika semina hiyo.

Baadhi ya Wafanyabiashara na Wajasiriamali wa Mkoa wa Dodoma wakiwa katika semina iliyoandaliwa na Benki ya CRDB.

Wafanyabiashara wakiwa katika semina hiyo.

Mkuu wa Kitengo cha Wajasiriamali Benki ya CRDB, Elibariki Masuke (kushoto), akiwa katika semina hiyo.

Baadhi ya maofisa wa Benki ya CRDB wakiwa katika semina hiyo.
Meneja wa Amana wa Wateja Wadogo wa Benki ya CRDB, Abel Lasway, akitoa mada katika semina ya Wafanyabiashara na Wajasiriamali wa mkoani Dodoma.
Meneja wa Huduma Maalum Benki ya CRDB, Joyce Ishemoi akitoa mada kwenye semina ya Wafanyabiashara wa Dodoma.
Meneja wa Benki ya CRDB Huduma za Kieletroniki, Mangire Kibanda, akitoa mada katika semina iliyowakutanisha Wafanyabiashara na Wajasiriamali wa Dodoma.
Mfanyabiashara wa Dodoma akiuluza swali katika semina hiyo.
Meneja Mahusiano Trade Finance wa Benki ya CRDB, Baraka Eusebio akitoa mada kwa Wajasiriamali.
Mfanyabiashara wa Dodoma akiuliza swali.
Mfanyabiashara wa mkoani Dodoma, Suzana Kweka, akitoa ushuhuda wake jinsi alivyopata msaada wa kukuza biashara yake kutoka Benki ya CRDB.
Mmoja wa Wafanyabiashara akiuliza swali.
Mkurugenzi wa Mikopo Benki ya CRDB, James Mabula,akijibu baadhi ya maswali ya Wafanyabiashara wa Dodoma wakati wa semina iliyoandaliwa na benki hiyo.
Wafanyabiashara wa Dodoma wakiwa katika semina iliyoandaliwa na Benki ya CRDB.

Mkurugenzi wa Benki ya CRDB tawi la Dodoma, Rehema Hamis, akipeana mkono na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei.

Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Mikopo Benki ya CRDB, James Mabula, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, Mkuu wa Kitengo cha Wajasiriamali, Elibariki Masuke, Elibariki Masuke na Mkurugenzi Benki ya CRDB Tawi la Dodoma, Rehema Hamis.

No comments:

Post a Comment

Pages