HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

October 07, 2017

KAMPUNI YA LIGHTING AFRICA KUTOA ELIMU YA MATUMIZI BORA YA TAA ZA SOLA VIJIJINI


Kamishna Msaidizi wa Nishati Jadidifu na Mbadala kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Edward Ishengoma (kushoto), akiangalia bidhaa za Solar wakati wa uzinduzi wa kampeni iliyopewa jina la ‘Ng'aa na Sola ndo mpango mzima.”
 Kamishna Msaidizi wa Nishati Jadidifu na Mbadala kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Edward Ishengoma (katikati), akionyesha sola.  
 Baadhi ya wadau wa sekta ya nishati.
Baadhi ya wadau wa sekta ya nishati wakiwa katika uzinduzi huo.
Kamishna Msaidizi wa Nishati Jadidifu na Mbadala kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Edward Ishengoma (katikati), akipata maelezo kuhusu bidhaa za sola kutoka kwa Meneja Mkazi wa Kampuni ya Solar Sister, Fatma  Muzo,(katikati), pembeni yake ni ANSILA MAKUPA- BUSINESS DEVELOPMENT ASSOCIATE wakati wa uzinduzi wa kampeni iliyopewa jina la ‘Ng'aa na Sola ndo mpango mzima,” na kampuni ya Lighting Africa, kwa kushirikiana na bank ya Dunia-IFC ya miaka miwili ya kutoa elimu kwa wateja kwaajili ya kuhamasisha taa zasizotumia nishati ya umeme wa kawaida katika jamii za vijijini ambao hawajaunganishwa na gridi ya Taifa katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam juzi.

No comments:

Post a Comment

Pages