HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

November 25, 2017

CHUO KIKUU MZUMBE CHAZINDUA RIPOTI YA UTAFITI JUU YA KILIMO CHA MKATABA KUELEKEA UCHUMI WA VIWANDA


Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Joseph Buchweishaija, akisaini kitabu cha wageni alipowasili Chuo Kikuu Mzumbe mkoani Morogoro Novemba 24, 2017.
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. Lughano Kusiluka (katikati), akiongozana na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Joseph Buchweishaija (kushoto) pamoja na Mratibu wa Mradi wa POLICOFA, Prof. Joseph Kuzilwa (kulia).

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Joseph Buchweishaija, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Ripoti ya Utafiti Juu ya Fursa na Changamoto za Kilimo cha Mkataba uliofanyika chuoni hapo mkoani Morogoro Novemba 24, 2017.
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. Lughano Kusiluka, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Ripoti ya Utafiti Juu ya Fursa na Changamoto za Kilimo cha Mkataba uliofanyika chuoni hapo mkoani Morogoro Novemba 24, 2017. Kulia ni Kaimu Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma, Dk. Hawa Tundu.

Baadhi ya washiriki.


Baadhi ya wanachuo.
Mratibu wa Mradi wa Utafiti wa POLICOFA, Prof. Joseph Kuzilwa akitoa mada wakati wa uzinduzi wa Ripoti ya Utafiti Juu ya Fursa na Changamoto za Kilimo cha Mkataba uliofanyika chuoni hapo mkoani Morogoro Novemba 24, 2017.
Washiriki.

Mratibu wa Mradi wa Utafiti wa POLICOFA, Prof. Joseph Kuzilwa akitoa mada wakati wa uzinduzi wa Ripoti ya Utafiti Juu ya Fursa na Changamoto za Kilimo cha Mkataba uliofanyika chuoni hapo mkoani Morogoro Novemba 24, 2017.

Mnufaika wa Mradi wa POLICOFA,  Edward Makoye, akitoa mada juu ya utafiti anaofanya kuhusu zao la Tumbaku.

Mmoja wa wanufaika na Mradi wa POLICOFA anayesomea PHD Chuo Kikuu Mzumbe, Anne Mwakibete, akitoa mada juu ya utafiti anaofanya katika kilimo cha Miwa Kilombero.
Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Chuo Kikuu Mzumbe, Sylvia Lupembe, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Ripoti ya Utafiti Juu ya Fursa na Changamoto za Kilimo cha Mkataba.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Joseph Buchweishaija, akikata utepe wakati wa uzinduzi wa Ripoti ya Utafiti Juu ya Fursa na Changamoto za Kilimo cha Mkataba uliofanyika chuoni hapo mkoani Morogoro Novemba 24, 2017. Katikati ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. Lughano Kusiluka.
aibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Joseph Buchweishaija, akionyesha nakala ya kitabu cha ripoti ya utafiti juu ya fursa na changamoto za kilimo cha mkataba. Kulia ni Mratibu wa Mradi Prof. Joseph Kuzilwa na Katikati ni Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma, Kaimu Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma, Dk. Hawa Tundui.

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. Lughano Kusiluka (kushoto), akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Joseph Buchweishaija, nakala ya kitabu cha ripoti ya utafiti juu ya fursa na changamoto za kilimo cha mkataba wakati wa hafla ya uzinduzi wa ripo hiyo.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Joseph Buchweishaija (wa pili kulia), Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof. Lughano Kusiluka (wa pili kushoto), Kaimu Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Taaluma, Dk. Hawa Tundui (kulia) na kushoto ni Kaimu Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Utawala na Fedha, Dk. Nsubiri Isaga.

Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Joseph Buchweishaija (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa chuo pamoja na watafiti.

Mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Joseph Buchweishaija (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa chuo pamoja na wahadhiri wa chuo hicho.

No comments:

Post a Comment

Pages