HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

November 23, 2017

ZIARA YA KUJITAMBULISHA YA MKUU WA MKOA WA DODOMA

 Makamu wa Kwanza wa Rais Mstaafu na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. John Samwel Malecela (mwenye kofia ya njano) akimuonesha Mkuu wa Mkoa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge mizabibu iliyopandwa kwenye shamba la Chinangali II Wilayani Chamwino wakati wa Ziara ya Dkt. Mahenge Wilayani humo
Baadhi ya Wananchi wa Kijiji cha Manzase Wilayani Chamwino wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa Dodoma Dkt. Mahenge (hayupo pichani) wakati alipofanya mkutano wa hadhara kusikiliza kero za wananchi Kijiji hapo.  (Na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dodoma)

No comments:

Post a Comment

Pages