Mwenyekiti wa Serekali ya Mtaa wa Kawawa Kata ya Hananasifu
Elizabeth Masao akizungumza jijini Dar es Salaam juzi, katika hafla ya kukabidhi
vya kula kwa watoto yatima wa Kituo cha Maunga Centre vilivyotolewa na kikundi
cha Hananasifu Jogging Club Kinondoni. (Na Mpiga Picha Wetu).
Mwenyekiti wa Jogging Club Kinondoni Majani Mrope
akizungumza jijini Dar es Salaam juzi, katika hafla ya kukabidhi vya kula kwa
watoto yatima wa Kituo cha Maunga Centre.
Mwenyekiti wa Serekali ya Mtaa wa Kawawa Kata ya Hananasifu Kinondoni
Elizabeth Masao, akikabidhi baadhi ya vitu kwa mtoto anaelelewa na kituo cha
yatima cha Maunga Centre Thabiti Amili, vilivyotolewa na kikunda cha Hananasifu
Jogging Club Kinondoni.
Mwenyekiti wa Serekali ya Mtaa wa Kawawa Kata ya Hananasifu Kinondoni
Elizabeth Masao, akikabidhi baadhi ya vitu kwa mtoto anaelelewa na kituo cha
yatima cha Maunga Centre Thabiti Amili, vilivyotolewa na kikunda cha Hananasifu
Jogging Club Kinondoni.
Baadhi ya wana kikundi cha Hananasifu Jogging Club
Kinondoni, wakimkabidhi vitu.
Picha ya pamoja.
No comments:
Post a Comment