HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

February 06, 2018

YANGA YAIPIGA 4-0 NJOMBE MJI

 Wachezaji wa Yanga wakimpongeza mshambuliaji wa timu hiyo, Obrey Chirwa, baada ya kufunga bao la pili kati ya matatu aliyofunga katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Njombe Mji kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanga imeshinda 4-0. (Picha na Said Powa).
 Wachezaji wa Yanga wakimpongeza mshambuliaji wa timu hiyo, Obrey Chirwa.
Kiungo wa Yanga Pius Buswita ambaye jana alicheza nafasi ya mshambuliaji wa kati akimiliki mpira mbele ya mabeki wa timu ya Njombe Mji katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
 Mshambuliaji wa Yanga, Juma Mahadhi akijiandaa kupiga mpira.
Beki wa kushoto wa Yanga, Gadiel Michael akimiliki mpira mbele ya beki wa Njombe Mji, Willy Mgaya.

No comments:

Post a Comment

Pages