HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

May 27, 2018

MAKAMU WA RAIS AKIPONGEZA CHAMA CHA WANASHERIA WANAWAKE TANZANIA (TAWLA) KWA KUTOYUMBA

 
01
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassanakisalima iana na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndungulile wakati walipowasili kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es salaam kwa ajili yakufungua mkutano wa Chama cha Wanzsheria wanawake Tanzania TAWLA.
Amesema “Nawapongeza TAWLA kwa namna ya kipekee sana kwa kutimiza miaka 28 ya uhai wake. Ni miaka 28 ya mafanikio makubwa sana. Nawapongeza kwa sababu, katika miaka 28 ya uhai wenu, hamjawahi kuyumba wala kutoka nje ya lengo la kuanzishwa kwenu, ambalo ni kutumia taaluma ya sheria kuwasaidia wanawake wasio na uwezo kupata msaada wa kisheria na haki zao.” alisema Makamu wa Rais.
Makamu wa Rais amesema anatambua na kuguswa na kazi nzuri inayofanywa na Chama cha Wanasheria Wanawake (TAWLA) hapa nchini ya kupigania haki za wanawake kwa kutumia taaluma ya sheria.
1
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalim iana na Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania (TAWLA) Bi. Athanasia Soka katikati ni Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndungulile.
2
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassanakisalima iana na Bi Tike Mwambipile Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha iwanawake Tanzania TAWLA katikati ni Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania (TAWLA) Bi. Athanasia Soka .
3
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongozana na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndungulile na Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania (TAWLA) Bi. Athanasia Soka kuingia kwenye chumba cha mkutano.
4 5
Mweka Hazina wa TAWLA, Asina Omari akiwaongoza baadhi ya wajumbe wa Kamati ya maandalizi ya mkutano huo kuingia kwenye mkutano.
15
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 28 wa Chama cha Wanasheria Wanawake TANZANIA(TAWLA) uliotanguliwa na mafunzo Endelevu ya Sheria uliofanyika katika hotel ya Serena jijini Dar es Salaam.
7
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndungulile wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 28 wa Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) uliotanguliwa na mafunzo Endelevu ya Sheria uliofanyika katika hotel ya Serena jijini Dar es Salaam.
9
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mwenyekiti wa TAWLA Bi. Athanasia Soka wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 28 wa Chama cha Wanasheria Wanawake TANZANIA(TAWLA) uliotanguliwa na mafunzo Endelevu ya Sheria uliofanyika katika hotel ya Serena jijini Dar es Salaam.
11
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndungulile akihutubia kabla ya kumkaribisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kufungua mkutano mkuu wa 28 wa TAWLA .
6
Picha mbalimbali zikionyesha wajumbe waliohudhuria katika mkutano huo wa mwaka wa TAWLA.
12
Baadhi ya maofisa wa Chama cha Wanasheria Wanawake TAWLA wakiwa katika mkutano huo.
15
Baadhi ya wajumbe wakifurahia jambo.
16
Balozi Mwanaidi Maajal na wajumbe wengine wakiwa katika mkutano huo.
21
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndungulile akizungumza na Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania (TAWLA) Bi. Athanasia Soka katikati ni Bi Tike Mwambipile Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanasheria Wanawake TAWLA.
22 23
Baadhi ya maofiza wa TAWLA wakiwapokea wajumbe na kuwasajili kwa ajili ya kuingia kwenye mkutano huo.
24
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndungulile akimsikiliza Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania (TAWLA) Bi. Athanasia Soka kulia ni Mkurugenzi wa TAWLA Bi Tike Mwambipile.
25
Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Hassan akipiga picha ya pamoja na uongozi wa Chama cha Wanasheria wanawake TAWLA.
26
Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Hassan akipiga picha ya pamoja na sekretarieti ya Chama cha Wanasheria wanawake TAWLA.
28
Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Hassan akipiga picha ya pamoja na baadhi ya wanachama wa Chama cha Wanasheria wanawake TAWLA.

No comments:

Post a Comment

Pages