HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

June 22, 2018

MKUTANO WA WADAU KUPINGA BIASHARA HARAMU YA BINADAMU WAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM

  Katibu wa Sekretarieti ya Kuzuia na Kupambana na Biashara Haramu ya Usafirishaji wa Binadamu, iliyopo chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani, Separatus Fella, akizungumza na wakati wa kikao cha kujadili mikakati ya kupambana na biashara hiyo, ambapo maadhimisho ya mwaka huu ya kupinga biashara hiyo yanatarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi wa sita.Kikao hicho kimefanyika Ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi,jijini Dar es Salaam.
 Mwenyekiti   wa Sekretarieti ya Kuzuia na Kupambana na Biashara Haramu ya Usafirishaji wa Binadamu, iliyopo chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani, Adatus Magere, akizungumza na wakati wa kikao cha kujadili mikakati ya kupambana na biashara hiyo.Kikao hicho kimefanyika Ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi,jijini Dar es Salaam.
 Mshiriki wa Kikao cha Kujadili mikakati ya kupambana na biashara haramu ya binadamu kutoka Shirika la Utangazaji Tanzani(TBC), Prudence Constantine, akichangia hoja wakati wa kikao hicho kilichofanyika Ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi,jijini Dar es Salaam.
 Mshiriki wa Kikao cha Kujadili mikakati ya kupambana na biashara haramu ya binadamu kutoka Jeshi la Polisi , ACP Rogathe Mlasani, akichangia hoja wakati wa kikao hicho kilichofanyika Ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi,jijini Dar es Salaam.
Mshiriki wa Kikao cha Kujadili mikakati ya kupambana na biashara haramu ya binadamu kutoka Vyombo vya Habari vya Clouds,Simon Simalenga , akichangia hoja wakati wa kikao hicho kilichofanyika Ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi,jijini Dar es Salaam.
  Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linashughulikia Masuala ya Ongezeko la Watu (UNFPA), Jacqueline Mahon, akizungumza wakati wa Kikao cha Kujadili mikakati ya kupambana na biashara haramu ya binadamu wakati wa kikao kilichofanyika Ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi,jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Msaidizi wa mwakilishi huyo, Anna Holmstrom. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

No comments:

Post a Comment

Pages