MKUU wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi amesema amewataka wafanyakazi wa Hospitali ya Mkoa wa Iringa kujitathimini juu ya utendaji wao.
Amesema kumekuwa na malalamiko mengi kutokana na na utendaji mbovu wa baadhi ya wafanyakazi wakiwemo wauguzi.
Amesema hayo wakati akiongea na wakuu wa Idara a wafanyakazi wa Wilaya hiyo wakati wa ziara yake ya kujitambulisha Wilaya humo.
Amesema kuna baadhi ya watumishi kufanyakazi kwa mazoea hali inayoshusha uwajibikaji wao kwa Wananchi.
No comments:
Post a Comment