HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

August 10, 2018

SPIKA WA BUNGE ALIPOTEMBELEA KIJIJI CHA NJOGE NA GOMAYE-KONGWA

 Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kongwa akihutubia jukwaani wananchi wa kijiji cha Njoge ili kusikiliza kero zao mbalimbali.
 Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kongwa akifurahia jambo wakati wa kikao cha ndani cha wajumbe wa CCM pamoja na wataalamu mbalimbali wa kijiji cha Gomaye katika wilaya ya Kongwa.

Wananchi mbalimbali wa Kijiji cha Njoge wakimsikiliza kwa makini Mheshimiwa Spika Job Ndugai ambaye alifanya ziara katika Kijiji hicho mapema leo.
PICHA NA OFISI YA BUNGE

No comments:

Post a Comment

Pages