HABARI MSETO (HEADER)


Breaking

September 22, 2018

WASTAAFU WATARAJIWA WAPEWA ELIMU KUHUSU UWEKEZAJI WA PAMOJA

 
Mkurugenzi wa Masoko na Uhusiano wa UTT AMIS Ndugu Daudi Mbaga akitoa mada jinsi uwekezaji wa pamoja unaweza kuwa suluhisho la maisha baada ya kustaafu kwa wastaafu watarajiwa kutoka Wizara ya Fedha wa mikoa mbali mbali katika ukumbi  wa Wizara ya Fedha mkoani Morogoro.
  Ofisa Masikitiko na Uhusiano wa UTT AMIS, Ndg. Waziri Ramadhani akitoa elimu kwa wastaafu watarajiwa kutoka taasisi mbali mbali katika semina iliyoandaliwa na TAGLA  katika ukumbi wa  JKT-Umwema, Morogoro.
 Washiriki wa semina.
 Ofisa Masikitiko na Uhusiano wa UTT AMIS Ndg. Waziri Ramadhani akitoa elimu kwa wastaafu watarajiwa kutoka taasisi mbali mbali katika semina iliyoandaliwa na TAGLA  katika ukumbi wa  JKT -Umwema, Morogoro.
 Ofisa Masikitiko na Uhusiano wa UTT AMIS, Ndg. Waziri Ramadhani, akitoa elimu kwa wastaafu watarajiwa kutoka taasisi mbali mbali katika semina iliyoandaliwa na TAGLA  katika ukumbi wa  JKT-Umwema, Morogoro.
 Washiriki wakiwa katika semina hiyo.
 Washiriki wa semina hiyo.
 Washiriki wa semina wakisikiliza mada zilizokuwa zikitolewa.

No comments:

Post a Comment

Pages