Kampuni ya mchezo wa kubashiri ya SportPesa
imechezesha droo ya 28 ya Promosheni ya Shida Zaidi na SportPesa, ambapo Ndugu Amri
Nicolas Juma (28) kutoka Kigoma ameibuka mshindi wa Bajaji RE.
Droo hiyo iliyooongozwa na Mkurugenzi wa
Utawala na Udhibiti SportPesa Tanzania Ndugu Tarimba Abbas alitangaza ongezeko
la zawadi kwenye promosheni hiyo, aambapo mbali na wachezeji wa SportPesa
kupitia mitandao yote wananafasi ya kushinda Bajaji, na kuna zawadi mpya amnazo
ni Smartphones, Jezi za timu ya Simba ama Yanga na Tiketi ya kuhuduria mechi za
ligi ya Hispania na Uingereza kila mwezi.
Akizungumza na waandishi wa habari Ndugu
Tarimba Abbas alisema” Kutokana na ukubwa wa promosheni yetu tumeona si haba
endapo tukaongeza zawadi zitakazotolewa kila wiki na kila mwezi kwa wateja wetu
ili kuwahamasisha waweze kushiriki na kushinda zawadi mbalimbali”
“Kila wiki tutawazawadia washindi kumi na nne
jezi pamoja na simu za mkononi yaani Smartphones na kila mwezi tutawazawadia
washindi wawili tiketi ya kuweza kuhudhuria mechi ya Ligi zinazoendelea
Hispania pamoja na Uingereza”
“Ningependa kuwahamasisha watumiaji wa
mitandao yote ya simu kushiriki vilivyo kwenye promosheni hii ili kuweza
kujishindia zawadi mbalimbali kila siku.
“Mpaka sasa tumepata washindi kutoka zaidi ya
mikoa kumi 13 Tanzania ambayo ni Dar es Salaam, Kigoma, Mwanza, Tanga, Singida,
Ruvuma, Morogoro, Iringa, Kahama, Songwe, Mbeya, Pwani, na Lindi.
Hakuna kulala Mtanzania SportPesa wametuletea
Bajaji mia moja cha kufanya kupitia simu yako ya mkononi ni kupiga *150*87#,
kisha usisahau kuweka pesa kwenye akaunti kupitia mitandao ya simu ya mkononi
na kuweka ubashiri wako moja kwa moja ili kuingia kwenye droo na kujishindia
zawadi mbalimbali, kwa tovuti www.sportpesa.co.tz
No comments:
Post a Comment