Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama Cha
Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare (wa
tatu kushoto) akiongozana na familia yake wakati akitoka katika Mahakama ya
Rufaa Tanzania, baada ya mahakama hiyo kuyatupilia mbali maombi ya serikali ya
kupinga Uamuzi wa Mahakama Kuu wa kumfutia mashtaka ya Ugaidi. (Picha na Francis
Dande)
Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama Cha
Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare (wa pili kushoto) akipongezana na wakili wake Peter Kibatala.




No comments:
Post a Comment