HABARI MSETO (HEADER)


July 01, 2014

NSSF YANG’ARA MAONESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA SABASABA
Meneja Kiongozi, Uhusiano na Huduma kwa Wateja Mrs Eunice Chiume wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya jamii akifafanua jambo kuhusu Bima ya Afya kwa mwanachama aliyetembelea Banda hilo katika maonyesho ya Sabasaba.
Maafisa  wa shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii wakifafanua jambo kuhusu mpango wa hiari kwa  mwanachama alietembelea banda la Shirika hilo katika maonyesho ya Sabasaba.

Maafisa  wa shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii wakifafanua jambo kuhusu huduma ya fao la matibabu kwa  mwanachama alietembelea banda la Shirika hilo katika maonyesho ya Sabasaba

Afisa mwandamizi wa shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii.Teopista Muheta  akifafanua jambo kwa moja ya mwanachama alietembelea banda la Shirika hilo katika maonyesho ya Sabasaba.

Ofisa Technologia ya Teknohama wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii akitoa maelekezo kwa wanachama wa Shirika hilo namna ya kutumia matambo wa kupata taarifa za michango yao.
Ofisa Mwandamizi wa Uwekezaji na yule wa Hifadhi Builders akitoa ufafanuzi kwa mwanachama alipotembelea banda la Sirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kuhusu mradi wa DEGE ECO VILLAGE  unaojengwa Kigamboni takribani kolomita 23 kutoka Feri.
 Maofisa Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), wakitoa ufafanuzi kuhusu huduma mbalimbali kwa wanachama waliotembelea banda hilo katika maonyesho ya 38 ya Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Maofisa Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), wakitoa ufafanuzi kuhusu huduma mbalimbali kwa wanachama waliotembelea banda hilo katika maonyesho ya 38 ya Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

No comments:

Post a Comment

Pages