MSIZUIE WANAFUNZI KUFANYA MITIHANI-DKT. MWIGULU HABARI MSETO 14.5.26 0 WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amezitaka taasisi za elimu nchini kutowazuia wanafunzi kufanya mitihani ya masomo yao kwa kushindwa kulipa ... Read more »
SERIKALI YAENDELEA KUKUSANYA MAONI YA RASIMU YA KANUNI ZA BIMA ZA LAZIMA HABARI MSETO 14.5.26 0 Na Peter Haule, WF, Dodoma Serikali inaendelea na zoezi la ukusanyaji wa maoni kutoka kwa wadau mbalimbali kuhusu rasimu ya Kanuni za bi... Read more »
WATUMISHI WIZARA YA FEDHA WATAHADHARISHWA UPOTOSHAJI WA ELIMU YA LISHE HABARI MSETO 14.5.26 0 Na Peter Haule, WF Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Dkt. Peter Kisenge, amewataka Watumishi wa Wizara ... Read more »
SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA KAZI KWA WATUMISHI WA UMMA HABARI MSETO 14.5.26 0 Na Antonia Mbwambo, Arusha Watumishi wa Umma nchini wamehakikishiwa kuboreshewa mazingira ya kazi kadri uchumi utakavyoruhusu ili kuleta... Read more »
IMF YAIPONGEZA TANZANIA KWA KUIMARISHA UCHUMI, YAKUBALI KUTOA ZAIDI YA DOLA MILIONI 375 HABARI MSETO 14.5.26 0 Na Joseph Mahumi, WF, Dar es Salaam Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na Serikali ya Tanzania zimefikia makubaliano ya ngazi ya wataal... Read more »
POLISI YACHUNGUZA TAARIFA YA KIFO HABARI MSETO 14.5.26 0 Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limepokea taarifa ya kifo cha mtu ambaye tarehe 11 Mei, 2026 saa 04 :30 Asubuhi mwili wake uli... Read more »
MATUMIZI YA KADI YAWALIPA WATEJA WA CRDB KWA SAFARI ZA MAREKANI NA CANADA HABARI MSETO 13.5.26 0 Dar es Salaam Benki ya CRDB imeendelea kuhamasisha matumizi ya kadi na huduma za kidigitali kupitia kampeni yake mpya ijulikanayo kama “Fain... Read more »
RAIS SAMIA ASHIRIKI UAPISHO WA RAIS MUSEVENI, NCHINI UGANDA HABARI MSETO 13.5.26 0 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amehudhuria sherehe za uapisho wa Rais Mteule wa Jamhuri y... Read more »
JAMII MKOANI KAGERA YATAKIWA KULINDA NA KUTUNZA ARDHI KUEPUKA MMOMONYOKO HABARI MSETO 12.5.26 0 NA EDITHA WILLIAM, KAGERA Jamii Mkoani Kagera imetakiwa kulinda na kutunza ardhi ili kuepuka mmomonyoko wa ardhi ikiwa ni sambamba na kufuat... Read more »
NCCR Mageuzi yamshukuru Dkt. Samia uteuzi wa Dkt. Aveline, yawaonya wanaoubeza HABARI MSETO 9.5.26 0 Chama cha NCCR Mageuzi kimetoa onyo kali kwa baadhi ya viongozi wa chama hicho ambao wamekuwa wakimshambulia kwa maneno Katibu Mkuu wa chama... Read more »
Kikwete: Rais Samia apeleka 'kicheko' kwa watumishi wa umma HABARI MSETO 9.5.26 0 Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nchi ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amewataka watumishi wa u... Read more »
CRDB Bank Foundation Yatoa Bilioni 21 Kuwainua Vijana na Wanawake HABARI MSETO 8.5.26 0 TAASISI ya CRDB Bank Foundation imetoa jumla ya shilingi bilioni 21 katika kipindi cha miaka mitatu kwa ajili ya mikopo kwa vijana, wanawak... Read more »
WANANCHI KAGERA WATAKIWA KUZINGATIA KANUNI ZA AFYA HABARI MSETO 8.5.26 0 NA EDITHA WILLIAM BUKOBA, KAGERA Wananchi wa Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera wameshauriwa kuzingatia kanuni za afya ili kue... Read more »
CRDB Yakutana na Wadau Kujadili Ukuaji wa Uchumi na Fursa za Uwekezaji HABARI MSETO 8.5.26 0 DAR ES SALAAM Benki ya CRDB pamoja na kampuni zake tanzu imekutana na wateja wake pamoja na wadau mbalimbali wakiwemo wanahisa, wawekezaji, ... Read more »
Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa azindua Mpango wa Uuzaji Hisa Stahiki MCB, asema utachochea Mikopo nafuu HABARI MSETO 7.5.26 0 Na Hussein Ndubikile, Dar es Salaam Uuzaji wa hisa za Benki ya Biashara ya Mwalimu (MCB) ni chachu ya kuimarisha mtaji na kupanua wigo wa ut... Read more »