JIMBO LA ISMANI LAGOMBEWA KAMA NYUKI HABARI MSETO 18.4.26 0 NA DENIS MLOWE, IRINGA WIMBI la makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Iringa kuwania nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Isimani limezidi ku... Read more »
KINYANG’ANYIRO CHA ISIMANI CHAPATA JOTO, KISWAGA AJITOSA UBUNGENI HABARI MSETO 18.4.26 0 NA DENIS MLOWE, IRINGA KINYANG’ANYIRO cha kuwania ubunge wa Jimbo la Isimani mkoani Iringa kimeanza kushika kasi baada ya aliyekuwa Mkuu wa... Read more »
WANACHAMA 18 WA CCM ISIMANI WARUDISHA FOMU ZA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA ISMANI - FRED NGAJILO VUNJABEI NDANI HABARI MSETO 18.4.26 0 NA DENIS MLOWE, IRINGA KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Iringa Vijijini, Sule Masanguti, amethibitisha kukamilika kwa hatua ya uchuk... Read more »
TUMIENI LUGHA RAHISI KUTAYARISHA MUONGOZO WA KUSHUGHULIKIA MALALAMIKO YA MRADI WA PAMOJA: MDEMU HABARI MSETO 18.4.26 0 Na WMJWM-Morogoro Kamati ya Kitaifa ya Kushughulikia Malalamiko ya Mradi wa Kukuza usawa wa kijinsia na kutokomeza ukatili wa kijinsia (PAMO... Read more »
UMOJA WA MAFUNDI MAGARI WILAYA YA KINONDONI WASHIRIKI MBIO ZA MWENGE 2026 HABARI MSETO 18.4.26 0 Dar es Salaam — Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Mafundi Magari Wilaya ya Kinondoni, Abdallah Rashid, amesema umoja huo ulianzishwa mwaka 2010 ... Read more »
MBUNGE NGAJILO AJA NA MAFUNZO KUWAINUA VIJANA KIUCHUMI IRINGA MJINI HABARI MSETO 17.4.26 0 NA DENIS MLOWE, IRINGA MBUNGE wa Jimbo la Iringa Mjini, Fadhili Ngajilo, ameendelea kudhihirisha dhamira yake ya kuwainua vijana kiuchumi k... Read more »
OFISI YA MAKAMU WA RAIS KUFUNGUA PAZIA MEI MOSI,2026 NA WIZARA YA MAJI HABARI MSETO 15.4.26 0 TIMU ya Mpira wa Pete (Netball) ya Ofisi ya Makamu wa Rais inatarajia kufungua pazia la Michezo ya Mei Mosi, 2026 kwa kuumana na Timu ya Wiz... Read more »
CRDB YATANGAZA WASHINDI WA DROO YA KWANZA KAMPENI YA TEMBOCARD VISA HABARI MSETO 15.4.26 0 Dar es Salaam: Benki ya CRDB imetangaza washindi wa droo ya kwanza ya fainali ya kampeni yake ya “Fainali Ndo Mpango na TemboCard Visa”, ina... Read more »
Serikali Yatenga Asilimia 50 ya Bajeti ya Maendeleo ya Elimu kwa Mikopo ya Wanafunzi HABARI MSETO 15.4.26 0 Dar es Salaam. Serikali imesema kuwa asilimia 50 ya bajeti ya maendeleo ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeelekezwa katika utoaji ... Read more »
Wanahabari 'kidedea' Tuzo ya Mwl. Nyerere Uandishi bunifu 2026 HABARI MSETO 14.4.26 0 Mshahiri nguli duniani Abdilatif Abdalla akizungumzia safari yake kwenye ushahiri na harakati za ukombozi wa nchi za Afrika Mashariki. Wazir... Read more »
CRDB yajivunia mafanikio HABARI MSETO 14.4.26 0 Benki ya CRDB imeandika historia kwa kufanikiwa kupata faida ya shilingi trilioni moja kabla ya kodi katika kipindi cha mwaka uliopita, ikiw... Read more »
TBL YATOA WITO WA HATUA ZA PAMOJA ZA KUKABILIANA NA HATARI ZA POMBE HARAMU TANZANIA HABARI MSETO 11.4.26 0 KAMPUNI ya Tanzania Breweries Limited (TBL) imetoa wito wa kuwepo kwa hatua za pamoja na endelevu ili kukabiliana na tatizo la pombe haramu ... Read more »
Rais Samia Mgeni Rasmi Mkutano wa Mama Lishe na Baba Lishe HABARI MSETO 10.4.26 0 Na Hussein Ndubikile, Dar es Salaam Rais Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mkutano mkubwa wa Mamalishe na Babalishe k... Read more »
ABDILATIF ABDALLAH KUIPAMBA TUZO YA TAIFA YA MWALIMU NYERERE YA UANDISHI BUNIFU HABARI MSETO 9.4.26 0 WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amesema hafla ya nne ya Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu itaf... Read more »
Vijana wametakiwa kuchangamkia fursa za mikopo zinazotolewa na serikali ili kujikwamua kiuchumi HABARI MSETO 4.4.26 0 NA EDITHA WILLIAM, BUKOBA Hayo yamezungumzwa na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Bukoba Mjini, Comrade James Mic... Read more »