Rais Samia Mgeni Rasmi Mkutano wa Mama Lishe na Baba Lishe HABARI MSETO 10.4.26 0 Na Hussein Ndubikile, Dar es Salaam Rais Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mkutano mkubwa wa Mamalishe na Babalishe k... Read more »
ABDILATIF ABDALLAH KUIPAMBA TUZO YA TAIFA YA MWALIMU NYERERE YA UANDISHI BUNIFU HABARI MSETO 9.4.26 0 WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amesema hafla ya nne ya Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu itaf... Read more »
Vijana wametakiwa kuchangamkia fursa za mikopo zinazotolewa na serikali ili kujikwamua kiuchumi HABARI MSETO 4.4.26 0 NA EDITHA WILLIAM, BUKOBA Hayo yamezungumzwa na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Bukoba Mjini, Comrade James Mic... Read more »
MAZISHI YA EMMANUEL MACHA YAACHA SIMANZI NA MAJONZI MAKABURI YA KINONDONI HABARI MSETO 4.4.26 0 NA VICTOR MASANGU, DAR Maelfu ya wananchi mbali mbali wakiwemo viongozi wa serikali, viongozi wa dini, taasisi na mashirika binafsi ,mashab... Read more »
UTEKELEZAJI WA DIRA 2050 UANZE - DKT. MWIGULU HABARI MSETO 1.4.26 0 WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza kuanza utekelezaji wa Dira 2050 kupitia Mpango na Bajeti iliyoandaliwa na kuendelea kuishirikisha ... Read more »
HUDUMA YA DHARURA HOSPITALI YA DR. OLE LENGINE YAIMARISHWA HABARI MSETO 30.3.26 0 Kikosi Kazi cha dharura katika Hospital ya DR. Ole Lengine kikionesha kazi zake ndani ya gari la kusaidia wagonjwa wa dharura. Mkurugenzi wa... Read more »
Huduma ya Maji Safi yawafikia wananchi wa kipato cha chini HABARI MSETO 30.3.26 0 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Dontino Water Refilling Co Ltd, Valentino Ngeiyamu. Upatikanaji wa maji safi na salama kwa bei nafuu ya ku... Read more »
MAPOKEZI YA MWILI WA LUKUVI YAGUSA MIOYO IRINGA WENGI WASIMAMA BARABARANI HABARI MSETO 29.3.26 0 NA DENIS MLOWE, IRINGA Mwili wa aliyekuwa Waziri na Mbunge wa muda mrefu wa Ismani, marehemu William Lukuvi, uliwasili majira ya saa kumi n... Read more »
Walimu 39 waenda India kushiriki mafunzo HABARI MSETO 29.3.26 0 Alfajiri ya Machi 29, 2026 kundi la kwanza la walimu 39 kati ya jumla ya 150 limeondoka kwa ndege ya Oman Air kuelekea New Delhi, India. Saf... Read more »
POLISI YATOA TAHADHARI NA MATAPELI MTANDAONI HABARI MSETO 28.3.26 0 Hali ya Usalama nchini inaendelea vizuri kutokana na jitihada za Jeshi la Polisi zinazo saidiwa na ushirikiano mkubwa kutoka kwa wananchi ka... Read more »
RAIS SAMIA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA LUKUVI HABARI MSETO 28.3.26 0 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza viongozi wa kitaifa, familia, na wananchi kuaga mwil... Read more »
VIJANA 521 WAONDOKA KWA AJIRA NJE YA NCHI, 45 WAENDA ULAYA HABARI MSETO 28.3.26 0 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu Katikati akiwa kwenye picha ya pamoja na Wanufaika wa Ajira z... Read more »
SERIKALI YACHOCHEA ELIMU YA UFUNDI, WALIMU 150 WAPELEKWA INDIA KWA MAFUNZO HABARI MSETO 27.3.26 0 TANZANIA imeandika ukurasa mpya katika historia ya elimu ya ufundi kwa kupeleka walimu 150 wa Amali za Kihandisi nchini India. Hatua hii ku... Read more »
MH. GAVU AUNGURUMA AMWAGA MSAADA WA VIFAA KWA SKULI ZA JIMBO LA CHWAKA HABARI MSETO 26.3.26 0 NA MWANDISHI WETU, CHWAKA Katika kuboresha sekta ya elimu Mwakilishi wa Jimbo la Chwaka, Issa Gavu amekabidhi vitabu kwa ajili ya kujisom... Read more »