HUDUMA YA DHARURA HOSPITALI YA DK. OLE LENGINE YAIMARISHWA HABARI MSETO 30.3.26 0 Kikosi Kazi cha dharura katika Hospital ya Dk. Ole Lengine kikionesha kazi zake ndani ya gari la kusaidia wagonjwa wa dharura. Mkurugenzi wa... Read more »
Huduma ya Maji Safi yawafikia wananchi wa kipato cha chini HABARI MSETO 30.3.26 0 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Dontino Water Refilling Co Ltd, Valentino Ngeiyamu. Upatikanaji wa maji safi na salama kwa bei nafuu ya ku... Read more »
MAPOKEZI YA MWILI WA LUKUVI YAGUSA MIOYO IRINGA WENGI WASIMAMA BARABARANI HABARI MSETO 29.3.26 0 NA DENIS MLOWE, IRINGA Mwili wa aliyekuwa Waziri na Mbunge wa muda mrefu wa Ismani, marehemu William Lukuvi, uliwasili majira ya saa kumi n... Read more »
Walimu 39 waenda India kushiriki mafunzo HABARI MSETO 29.3.26 0 Alfajiri ya Machi 29, 2026 kundi la kwanza la walimu 39 kati ya jumla ya 150 limeondoka kwa ndege ya Oman Air kuelekea New Delhi, India. Saf... Read more »
POLISI YATOA TAHADHARI NA MATAPELI MTANDAONI HABARI MSETO 28.3.26 0 Hali ya Usalama nchini inaendelea vizuri kutokana na jitihada za Jeshi la Polisi zinazo saidiwa na ushirikiano mkubwa kutoka kwa wananchi ka... Read more »
RAIS SAMIA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA LUKUVI HABARI MSETO 28.3.26 0 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza viongozi wa kitaifa, familia, na wananchi kuaga mwil... Read more »
VIJANA 521 WAONDOKA KWA AJIRA NJE YA NCHI, 45 WAENDA ULAYA HABARI MSETO 28.3.26 0 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu Katikati akiwa kwenye picha ya pamoja na Wanufaika wa Ajira z... Read more »
SERIKALI YACHOCHEA ELIMU YA UFUNDI, WALIMU 150 WAPELEKWA INDIA KWA MAFUNZO HABARI MSETO 27.3.26 0 TANZANIA imeandika ukurasa mpya katika historia ya elimu ya ufundi kwa kupeleka walimu 150 wa Amali za Kihandisi nchini India. Hatua hii ku... Read more »
MH. GAVU AUNGURUMA AMWAGA MSAADA WA VIFAA KWA SKULI ZA JIMBO LA CHWAKA HABARI MSETO 26.3.26 0 NA MWANDISHI WETU, CHWAKA Katika kuboresha sekta ya elimu Mwakilishi wa Jimbo la Chwaka, Issa Gavu amekabidhi vitabu kwa ajili ya kujisom... Read more »
JOWUTA sasa rasmi vikao vya CoRI HABARI MSETO 26.3.26 0 Mwandishi Wetu CHAMA cha Wafanyakazi katika Vyombo vya Habari Tanzania (JOWUTA), kimeanza kushiriki rasmi mkutano wa Taasisi zinazopigania H... Read more »
WATEJA CRDB kujishindia bilioni 2.3 kupitia huduma ya SimBanking HABARI MSETO 26.3.26 0 Benki ya CRDB imetenga jumla ya shilingi bilioni 2.3 kwa ajili ya zawadi kwa wateja wake watakaofanya miamala na malipo kupitia huduma ya Si... Read more »
NMB, CHUO KIKUU TUMAINI DAR WASAINI MAKUBALIANO YA KIMKAKATI HABARI MSETO 25.3.26 0 BENKI ya NMB na Chuo Kikuu cha Tumaini Dar es Salaam (DarTU – zamani TUDARCo), wamesaini Makubaliano ya Ushirikiano (MoU) wa Kimkakati, weny... Read more »
TMA yatoa elimu kwa Jamii maadhimisho siku ya Hali ya Hewa duniani HABARI MSETO 24.3.26 0 MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Kituo cha Hali ya Hewa cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), imeadhimisha Siku ... Read more »